Kinjeketile
Ebrahim N. HussainWatanzania wanavikumbuka sana vita vya Maji Maji
baina ya Watanzania na Wajerumani katika mwanzo. ji |
wa karne hii. Damu ya Watanzania iliyomwagika
katika vita hivyo ilikuwa wino ghali ulioandikia |
kurasa za historia. Watanzania walikufa kwa maeli
Walikufa kwa sababu Wajerumani walikuwa na sila:
bora, na walikufa kwa sababu waliamini kuwa risasi ,
Wajerumani hazitawadhuru. Imani hii ilitiwa mioyo...
mwao na mganga aliyekuwa akiitwa Kinjeketie.
Mchezo huu uliotungwa na Hussein unafasiri vita |
hivyo na kutupa undani wa vitendo vilivyosabarisha j ;
mauti ya maelfu ya watu. MA
Kinjeketile aliwapa watu maji—alama ya umoja, n:
ya mauti, na roho ya mapenzi. Aliyaambia makabil'
yaungane na yajitayarishe kupambana na Wajeruman: ji
Chini ya Kinjeketile watu wakawa kitu kimoja, tayari 1 ha
kuingia vitani. Wakangoja amri kutoka kwa Kinjeke
kuanza vita. Amri haikutoka. Watu wakajiuliza: ;
“Tunangoja nini? Maji tunayo. Hongo yupo
kwetu' n.k. Katika vumbi la shangwe na imani, vita ;
vikaanzwa. MA
Picha juu ya jalada la mbele: C. Mallywanga ali.
cheza mahali pa Kinjeketile katika mchezo wa kwanza |
uliochezwa Chuo Kikuu, Dar es Salaam. hi
(Picha imepigwa na R.A. Payne|